Shughuli za Kidini


Faida za kushiriki katika shughuli za kidini zinaweza kuwasaidia wanafunzi katika njia tofauti tofauti wakifuatilia ukuaji zaidia katika jamii, kwa kibinafsi na kijamii.
- Husaidia wanafunzi kuchunguza na kujifunza kuhusu dini yao
- Kukuza kuelewa kwao, kukubalika kwao, na huruma kwa watu wengine
- Kuwapa pahali salama ambapo wanaweza kuunda na kukuza mahusiano ya kuaminiana
- Kuongeza urafiki na kukubalika katika jamii
Uzoefu wa Kidini Hujumuisha Nini?
Kumwelekeza mwanafunzi au familia kwa nafasi za kidini katika jamii hujumuisha:
- Kupata nafasi ya kueleza maadili na imani zao
- Kupata washauri wa kidini ambao wako na maadili na imani kama yao
- Kujiunga na familia katika jamii ya kidini
- Kuchunguza nafasi za dini ambazo zipo kwa jamii ili mwanafunzi achague moja inayomfana zaidi

Ni Kivipi Uzoefu wa Kidini Unaweza Kuwasaidia Wanafunzi?

Mitandao ya Kijamii
Kupata muda wa kushiriki na wengine katika jamii husaidia kuunda urafiki na mahusiano.

Uamuzi wa Kibinafsi
Kufanya maamuzi ya kijamii husaidia mtu kuapta nafasi ya kujenga ujuzi wa maisha marefu.

Kujitetea
Kuweza kuitetea imani yako inajenga hisia ya kujiamini katika jamii.

Muunganisho wa Jamii
Kuwa sehemu ya kidini katika jamii unatoa miunganisho na watu wengine ambao wako na maadili na imani. Hii humpa mtu hisia ya kujihisi kuwa unafaa katika jamii.

NYENZO
Tazama hii karatasi ya vidokezo kutoka kwa washiriki wetu katika Uvumbuzi wa Mabadiliko Bora
CHUNGUZA ZAIDI

MATUKIO YA HIVI PUNDE
Tazama kalenda kwa matukio yanayokufaa.
CHUNGUZA ZAIDI

Unataka kujifunza zaidi?
Kupanga Njia ya Maisha
Jifunze mengine kuhusu jinsi mfumo wa Njia ya Maisha inaweza kushughulikia mtu binafsi kijamii na kiroho
Tazama Maswali Yanayoulizwa Mara kwa Mara